Piga sm ,0655376871 nyumba inauzwa kiluvya makurunge milion 25 ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master public toilet moja na jiko kubwaa na seble pia dining ukubwa wa kiwanja sqm 900 yaani 30 kwa 30 nyumba ina eneo kubwa la kujenga nyumba nyingine za wapangaji,,fremu za maduka maana inashika barabara kuu ya makurunge inayowekwa lami twende ukaone Mali isiyoharibika piga sm ,0655376871 whatsapp kwenda kuona elfu 20000
TSh25