Shamba la eka 20 linauzwa shamba hili lipo hapa Kijiji Cha bago kata ya kiwangwa wilaya ya Bagamoyo mkoa pwani shamba hili lipo vizuri sana kwakilimo chamahindi hata kwa sasa tumelima mahindi shamba hili linauzwa kila eka moja inauzwa laki 7 Shamba hili lipo kilometa 5 kutoka Barabara yalami kwamawasiliano zaidi piga simu namba
TSh14