Kwa wanaomjua huyu mnyama pekee!! Anaitwa OPPO RENO 8T RAM 8+4 ROM 256 Camera hutoenda tena photo studio!!..Mfano wake nimepiga hilo jani! weka offer yako nikuachie.. nimescreenshot page zinazoonesha bei za simu ili wasiojua wajue kwamba ni simu ya aina gani!.. simu imenyooka kabisa but chini ina kreki 1 nyembamba sana tena unaweza usiione ni nyembamba sana yaani.. Exchange naruhusu kwa simu zinazoeleweka Fingerprint sensor ipo kwenye KIOO SIMU NI YANGU NDO NAITUMIA! 0693103187
FREE