Nauza samsung galaxy A54 clean kabisa kama mpyaaaaaa... n mali halali kabisaaaaa... ina kila sifa ya kuitwa A54, camera n hatari,, kiooo n smooth sana, finger yake ipo kwenye kioo.. av14,, betry staki kusema sana wajanja wanajua ina ram8 gb256.. Ina support wireless charging njoo uone na umiliki sm ya kijanja saaaana.. Mali halali kabisa bihashara nyumban bei 350 chap. Nichek inbox
$350