Ninapozungumzia UBUNIFU WA LOGO namaanisha UBUNIFU WA ATUA KWA ATUA..Kutoka mwanzo mpaka Mwisho.. IDEA itoke kichwan kisha kwenye ROUGH PAPER ndio ifanyiwe VISUALIZE kweny COMPUTER ili kipatikane Uhalisia wa IDEA Logo nzuri Ni ile ambayo inakuwa ya kipekee na ya utofaut na Nyengine, Pia isiwe Complicated Sana inatakiwa kuwa SIMPLE & CLEAR na sio More
TSh50,000