Hata kabla ya Sikukuu tayari watu wameshalizwa! Jamaa kanunua TV yake inch 65 kwa Sh. 1,890,000. Wajanja wameibeba kwa ubahili wa alarm ya Sh. 120 elf tu. Na wewe subiri uibiwe ndo uje nikufungie alarm. Jamani Alarm aina zote ninazo; iwe kulinda Nyumba, TV, Subwoofer, Duka, Supermarket, Frem, Mifugo kama kuku, ng'ombe, Nguruwe, au mazao shambani kama Ndizi, Mihogo, Embe, au hata kulinda bebi wako asichukuliwe mchepuko! Amua sasa. Wajanja wanafunga alarm kabla ya kuibiwa!
TZS120,000