Njoo nikukatie kiwanja chako 18x20 kwa laki nne tu. Mauziano serikali ya mtaa hamna udalali. Eneo ni langu mwenyewe ukitaka eneo kubwa zaidi tunazungumza. Wahi umiliki kieneo chako kijana mwenzangu mjini hapashikiki usije ukakosa pakujenga mna hata huku nje ya mji panapanda thamani kila leo. Usije juta baadae watoto watakapokosa pakurithi.
TZS400,000