Google Pixel hiyo baada ya kudumbukia kwenye maji na kukaa takribani saa 3, ikazingua spika! Fundi kabadilisha spika ikafanya kazi wiki tu ikazima mazima! Sasa mdau anaiuza kama ilivyo. Inatakiwa Tsh 150,000 tu na mie nipate chochote kitu! Maongezi yapo.... 0786422352 Arusha. Serious buyer anicheck chaaaap tumalize
TZS150,000