Nyumba ipo Kivule matembele wilaya ya Ilala mkoa DSM. Nyumba inavyumba vitatu vya kulala kimoja master, jiko, dining, sitting room na public toilet. Ukubwa wa kiwanja sqm 400 hati mauziano ya serikali ya mtaa. Ipo umbali wa Meter 100 kutoka kwenye lami. Njoo uangalie nyumba maongezi yapo Bei 50 0655123147/0755230978 Tembelea page yetu kwa Biashara zaidi. https://www.facebook.com/profile.php?id=61550538873912&mibextid=ZbWKwL
TZS50,000,000