Nyumba ipo mbagala chamaz kwa mkongo jiji la dar es salaam wilaya temeke kata ya chamaz mtaa wa dovya Hii nyumba ipo jilani kabisa na bara bara kuu ya lami ni nyumba ya nne tu kutoka bara bara kuu ya lami Ina uzwa tsh million 190 tu Ukubwa wa eneo square miter 600 Ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa Nyumba ina vyumba vnne vya More
TZS190