sabuni ni kubwa sana kwnza sabuni ya kung'arisha na kutakatisha wale wavivu kupaka mafuta unaogea tu hii unapaka mafuta ya kawaida but bado utang'aa inaondoa weusi makwapani mapajani na sugu matakoni kwenye magoti na viwiko hii sabuni ni kubwa unaweza itumia miezi mi 3 na ishiishe kama ww ni mtuniani mzuri wa sabuni Tsh 35,000
TZS35,000