SHAMBA LINAUZWA KIJIJI CHA CHIBELELA, MPUNGUZI DODOMA Ni takribani 37km kutoka Nyerere square. Shamba limelimwa karanga na mtama na zipo ekari sita. Ni shamba safi , halina visiki na ni udongo mwekundu ufaao kwa Mazao mengi hasa mahindi, karanga, alizeti na zaidi sana zabibu Bei ni 700,000 kwa ekari. 0743387260
TZS700,000