Nauza nyumba kwa Bei ndogo Sana kwa wale wanaotaka ,kumiliki japo hata nyumba yao binafsi mje mnione ,nyumba ipo kivule flem kumi ,Ina vyumba viwili na chumba na sebule pia ina eneo kubwa sana la uwanja ulio baki nahitaji mteja mmoja tu mwaminifu anipe million 10 tu nimuachie nyumba hii pamoja na uwanja wake. Inaumeme na choo na choo Cha public .siitaji majalibu Kama huna nia ya kununua pita tu ,nyumba Haina migogoro yoyote pia ina hati miliki. Karibuni Sana wateja. Kwa mawasiliano piga cim namba 0760200210 au what's up namba 0696748352
TZS10,000,000