Shamba la eka 20 linauzwa shamba hili lipo hapa Kijiji Cha kwang'andu kata ya mbwewe halimashauli ya chalinze wilaya ya bagamoyo mkoa wa pwan Shamba hili linauzwa lote milioni 5 shamba lipo kilometa 4 kutoka Barabara kuu lami kabisa iyendayo tanga moshi Arusha Kwamasiliano Zaid piga simu namba 0656878067
TZS5,000,000