Usiiache hii kwa milion 4 tu nakupa heka nzima vigwaza mlandizi karibu na lami. Zipo heka 2. Pia za milion 3 zipo 4 na za milion 2 zote karibu na lami kama kilomita moja kasoro hivi kwa mguu tu unafika yaani lami unaiona ilee gari zikipita. Ya nini ujibanebane kweny 10x10 kwa milion 5 mjini?? Wazee wa zamani waliwah mbez na kimara kukiitwa polini sasa ni matajiri. Na wewe wahi mlandizi chapu. Usiseme sijakwambia.
TZS4,000,000