Nyumba inauzwa ilboru, Arusha. Nyumba ni selfu ya room 3 za kulala moja master bedroom, sebule, jiko, choo cha public, dinning room pamoja na store. Nyumba ni kubwa vzr kwa matumizi ya familia, ina eneo kubwa vzr kutosha magari 4/5. Pia kuna bustani ya mbogamboga. Nyumba ina maji ya Auwasa na umeme. Pia ina ukuta na geti linalo jitegemea. Nyumba ipo ilboru-visiwani ofisi ya kijiji. Pia unaweza kufika kwa njia ya sanawari Bei Millioni 58, maongezi kdgo yapo
TZS70 Now TZS58