Mashati mikono mifupi origina ambayo unaweza vaa msimu wowote ule uwe wa barid au majira ya joto pia unaweza vaa popote ofisini au mtaa na jeans yako plain safi au ofisin na suruali yako ya kitambaa ukachomekea au ukaachia vovote vile tuwahi steph the wear kariakoo mtaa wa raha kwa shilingi 15,000/= tuu pia tunakufanyia na delivery popote pale kwa dar ,tupigie au ingia whatsapp 0787320998 kwa picha na maelezo zaid ,sisi tunasema karibu upendeze
TZS15,000