Habari yako Mtu wa Mungu! Natumaini U Mzima? Naitwa Daniel, ni Mtumishi wa Mungu kutokea chuo cha umisheni cha #Sayuni, Kilichopo #Dar es Salaam. Katika fumbo hili tunaona kuna mvuvi, bahari, nyavu / juya, samaki na chombo cha kubebea samaki wazuri. Je fumbo hili linawahusu samaki au fumbo hili lawahusu watu waishio #duniani? HABAKUKI 1:14 "na More
FREE