Selfu ya room mbili za kulala inapangishwa moshono nyuma ya club d. -inawapangaji wawili tu kweny compound. -Kila mmoja anajitegemea kwa mita yke ya umeme na maji. Ina seble Viyumba viwil vya kulala room moja master. Ina Jiko na public toilet. Bei 350,000/kwa mwez Kodi ilipwe kuanzi miez mitatu. -parking space ipo. Kwa maelezo Zaid pg:- 0762 988989(call. WhatsApp,0684 170231.
TSh350,000