Habari wadau shamba pori halijasafishwa zipo heka 100 zipo karibu na maji umbali wa mita 500 maji hayakauki ya msimu mzima kila hekari elfu 60 umbali kilometa 2 kutoka barabara ya lami ya tabora to Dodoma na kilometa kumi kutoka manyoni mjini barabara ipo vyema linafaa kwa kilimo cha mabustani na kilimo cha mahindi alizeti ulezi mtama maharage karanga nyanya hata kitunguu kwa mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa 0789399170 karibuni sana
TZS60,000