Kila heka ni 60 elfu

Habari wadau shamba pori halijasafishwa zipo heka 100 zipo karibu na maji umbali wa mita 500 maji hayakauki ya msimu mzima kila hekari elfu 60 umbali kilometa 2 kutoka barabara ya lami ya tabora to Dodoma na kilometa kumi kutoka manyoni mjini barabara ipo vyema linafaa kwa kilimo cha mabustani na kilimo cha mahindi alizeti ulezi mtama maharage karanga nyanya hata kitunguu kwa mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa 0789399170 karibuni sana

TZS60,000

seller's name'
Name: FELIX
seller phone number
Location: Manyoni
uploaded on
Date: 13 June, 2024

Contact Seller

seller phone number Phone Number: 0789399170

Product Images

A picture of Kila heka ni 60 elfu
Image 1 of 2
A picture of Kila heka ni 60 elfu
Image 2 of 2
Loading recommendations...