ECOA/JIKOKOA Ni jiko la kisasa la mkaa. Linapikia sufuria mpaka la kilo5. Ufanisi wake wa kutumia mkaa kidogo ni mkubwa kutokana na marigafi zilizo tengenezea jiko. Hakuna udongo kuna Fibre na Sio bati ni chuma(Stainless Steel) kinachodumu zaidi ya miaka mitano. Limetengenezwa Nairobi na ni jiko linalotumika inchi zaidi ya 15 Afrika nzima. 0655906001-Whatsaap. 0745877462-Calls/Sms.
TZS46,000