KWANINI HUTAKIWI KUKOSA KOROSHO NDANI KWAKO: Zinasaidia afya ya moyo na ubongo, mifupa, kinga ya mwili, ngozi. Ina maintain uzito wa mwili na kiwango cha sukari Inaimarisha nguvu za kiume. Ni bora zaidi kwenye chakula jamii ya karanga. (Ndo maana hizi na almonds zinauzwaga bei ghali zaidi) Unaweza kutumia kwenye lishe ya mtoto kama mbadala wa More
TZS20,000