Piga/WhatsApp 0718313133 Bei yake shilingi milioni 79 Hii ni nyumba yenye vyumba 8, zenye mfumo wa apartment.vyumba vyote master bedroom. Nyumba Ina kisima cha maji ya baridii,kuna mita ya maji kila mtu na mita yake ya maji na kila mtu na mita yake ya umeme. Kama upo interested na hii biashara,utanichek nikutumie video yake,ikiwa ni kama sehemu ya awali kwako kuona vizuri kuliko picha za kawaida. Bei yake shilingi milioni 79 Kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu Call/WhatsApp 0718313133
FREE