Plots mbili tofauti zinauzwa zipo ukonga majumba Sita wilaya ya Ilala mkoa DSM. Plots zina gusa lami kwenye kituo Cha mwendo Kasi. Nisu km kutoka Julius Nyerere International airport Kwa ujumla wake ukubwa wa eneo ni sqm 867 Bei mill.650 Ni eneo zuri kwa ujenzi wa nyumba za Biashara na makazi pia. Kama ukihitaji eneo zaidi majirani More
TZS650