PAGALA linauzwa lipo kivule kwa John Fedha wilaya ya Ilala mkoa DSM. PAGALA Lina vyumba vitano vya kulala kimoja master bila kusahau sitting room, dining na jiko kalo limechimbwa bado kufunika tuu!. Lipo kwe mtaa wenye miundo mbinu yote muhimu ikiwemo umeme na maji. Ukubwa kiwanja 18 -20 meter hivyo kuna eneo la kutosha kwa ajili ya parking iwapo utapiga fence. Bei mill 20 maongezi yapo, Simu, 0655123147/0755230978 Tembelea page yetu kwa Biashara zaidi https://www.facebook.com/profile.php?id=61550538873912&mibextid=ZbWKwL
TZS20,000,000