Mashamba poli tunauza na kukodisha, Yanafaa kwa mazao ya muda mrefu na ya msimu km mahindi, mihogo na ufuta, korosho, minazi, miembe nk, bei kuuza heka 400000 na kukodisha heka 50000,mashamba yapo wilaya ya kibiti mkoa wa pwani, BUNGU km 20 kutoka kilwa road na gar inafika, mawasiliano 0745526069 na whasup 0788165127
TZS400,000