Mashamba ya mpunga na ya mazao mengine yanauzwa. Yana rutuba nzuri hatutumii mbolea kwenye mpunga na maji ni uhakika ni mengi. Miundombinu mizuri, maghala ya kuhifadhia yapo Kuna umeme na huduma zote za kijamii. Bei ni laki nne na nusu 450,000 kwa hekari Moja. Tupo Kijiji Cha iyendwe wilaya ya momba mkoani songwe. WhatsApp 0757010295 au piga 0715974047, 0615574047
TZS450,000