Ndani ya box kuna Router ,Power bank ,Chaji na laini iliyokwisha Sajiliwa. Haina tatizo la aina yeyote na ni mpya kabisa yani. Ukiinunua kwangu kwa 48000 unaenda kuilipia kwa mwezi kifurushi cha cini ni70,000 NAIUZA KWASABABU NIMEHAMA MTANDAO WA AIRTEL NIPO MTANDAO MWINGINE
TZS48,000