Nyumba hii ipo msasani msikitini ipo pembeni ya barabara kama unavyoona nyumba ina frame (2) mbili na vyumba 5 kimoja master anatafutwa mpangaji mmoja (1) wa nyumba nzima hiyo bei kwa mwaka wa kwanza unalipa kidogo tyu ufanye matengenezo
TZS3,000,000