SHAMBA LA MIZABIBU LINAUZWA KIJIJI CHA MWENDA, MPUNGUZI DODOMA. Umbali wa kilomita 40 kutoka city center na kilomita 10 kutoka Mpunguzi center. Shamba Lina mizabibu inayozaa ingawa inahitaji kuboreshwa zaidi. Hapa unaweza kuchimba kisima maana water table haipo mbali. Shamba Lina ukubwa wa takribani ekari nne. Inahitajika fedha kwa haraka hivyo linauzwa kwa Bei nafuu sana. Bei ni milioni 5.9 kwa shamba lote. 0743387260
TZS5,900,000