docomo tablet 32gb rom 3gb ram 6000mah battery iris scan (face unlock) exchange inaruhusiwa na smartphone inayoendana na thamani (bei) ya hii. inaingia laini kioo ni inch 10.5 haiingii maji ni nyembamba sana camera kali mbele na nyuma kioo ni super amoled.. tablet haina kipengele uaminifu asilimia mia biashara inafanyikia nyumbani kwa usalama wa muuzaji na mnunuaji.. haijatumika tanzania ni used kutoka nje.. bei 300k 0712055651
TSh300,000