Habari shamba lipo morogoro kijiji mbigiri wilayani kilosa shamba lina na chanzo cha maji yani kuna mto na shamba linaanzia kwenye mto lina ukubwa wa ekari 100 shamba limesafishw kwa asilimia 90 linalimika shamba linauzwa kila ekari laki saba na nusu (750000) barabara ipo unapitia Dumila mpaka unafika samba kwa mwenye kuhitaji shamba karibun sana kwa mawasiliano zaidi 0789399170 shamba lina umiriki wa serekali ya kijiji nieneo linalomilikiwa na zaidi ya mtu mmoja hakuna shida yoyote
TZS750,000