Nyumba Single self ya Kupanga , Arusha Mianzini /Chadema 120K Ni room moja na choo chake na jiko Jiko lipo Maji yapo Umeme upo Wapangaji wa 2 Mt 200 toka Lami mianzin Bei ya kodi kwa mwezi ni 120000 Kulipwa miezi mi 3 Wahi chap Dalalis commission mwezi mmoja ukipenda nyumba Kuona charge 10K More
$120