FAHAMU NA ATHUMAN MAGARI _______________________ MADARAJA YA LESENI ZA UDEREVA A - Leseni ya kuendesha pikipiki zenye/zisizo na kigari na ambazo injini zake zina ukubwa zaidi ya cc 125 au uzito wa kilo 230. A1 - Leseni za kuendesha pikipiki zisizo na kigari na ambazo ukubwa wake wa injini ni mdogo kuliko cc 125 au chini ya kilo 230. A2 - Leseni More
FREE