Nauza mashine ya juisi ya miwa. Ipo safi kabisa, mota yake ni ya umeme na ni mpya kabisa. Na mashine yenyewe ni nzuri., Ila tatizo, mimi nimehamishwa kikazi kutoka Dar hadi Dodoma., Na hapo Dar sina msimamizi. Kama unahitaji kununua nipigie, 0762968816
TZS1,400,000