Angalia vizuri hapo Kuna simu mbili nauza moja moja niachieni nitumie ipo samsung a12 gb 64 ipo clean sana shida ni front camera ndo inaukungu kwa mbali sana ila ya nyuma ni quality balaa bei 170 pia kuna Google pixel 3 plain Gb 128 bei yake ni 180k ipo clea shida ni spika ya kuongelea but unaongea vizuri sana yaani ipo clean mno camera umeme bei 180k njoo ubebe moja piga 0624391368 au 0760060067
TZS188