TUNAUZA MEDALI ZA MIUJIZA ... TUNAPATIKANA POSTA DSM .TUNATUMA MIKOA YOTE TANZANIA @topfans @eveyone #catholicfaith #Christians #prayerlife MEDALI YA MIUJIZA NI NINI? Medali ya miujiza ni medali ya Bikira Maria mkingiwa dhambi ya asili. Iliitwa Medali ya Miujiza kwa ajili ya miujiza mingi sana iliyotendeka kwa njia ya Medali hii. Medali hii ilibuniwa na Bikira Maria mwenyewe. Ni sababu hii inaweza kutenda maajabu kwa maombezi ya Bikira Maria.
TZS20,000