Ni nyumba nzuri sana inapangishwa sakina maeneo ya tripo A kwa juu kidogo, nyumba ina sifa zifuatazo: 1 Ni chumba sebule choo ndani 2 Maji umeme upo parking ipo kubwa 3 Nyumba ina mazingira mazuri sana 4 Mita 400 toka lami
TSh120,000