Gari ya wizi inatumika kuwatapeli watu kuwa inauzwa ipo lindi mtwara nawaomba watanzania tushirikiane kuwakamata hawa watu majina yapo kwenye vitambulisho vyao hapo juu na no za cm ni 0748520078 huyu anaitwa KALAAM YOHANA na mwenzake no 0681502862 mzee YUSUF SIMON plzz atakae wapata ipo zawadi nono