Watoto wahitaji ambao ni jukumu la kila mwanajamii ambae anauwezo wa kumiliki hata mia2,usiseme kuwa huna hela. hapana mia2 yako ni mchango mkubwa mbele ya mungu..Kwasababu vitabu vitukufu vinatuambia tuwalishe maskini na mayatima na mafukara..Hvyoo ulichojaaliwa kinfaa kumsaidia muhitaji huyo..Lengo.Watoto hawa wasijihisi wapweke wale wavae kama watoto zetu