Ni nyumba nzuri sana mpya kabisaa inapangishwa sekei iradra ya maji, nyumba ina sifa zifuatazo 1 Ni selfu ya chumba sebule choo ndani 2 Nyumba ina mazingira mazuri, maji yapo 3 Wapangaji wawili kila mtu luku yake 4 Parking ipo kubwa, mita 400 toka lami wahi
TSh120,000