Nyumba ina muonekano wa kuvutia. Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja kinajitoshereza ( Masta bedroom) , subule, jiko la kisasa na mahala pa kula. Ni nyumba imara inayoweza kumudu mazingira kwa muda mrefu pasipo kufanyiwa marekebisho yasiyo na ulazima wowote Hii ni nyumba imejengwa kwa malighafi bora, mafundi na wasimamizi bora! Wahi nyumba hii sasa. Inauzwa na furniture zake. Ipo katika jengo lenye lift genereta na bwawa la kuogerea. Panga siku na muda wa kuja kuiona. Mawasiliano +255755312233
TSh276,000,000