Ni nyumba nzuri sana inapangishwa moshono Boma Siarah, nyumba ina sifa zifuatazo 1 Ni selfu ya chumba sebule choo jiko ndani 2 Parking ipo maji umeme upo, mazingira safi 3 Wapangaji tatu kila mtu anajitegemea luku 4 Mita 500 toka lami, wahi mapema sana ndg
TSh150,000