Ni nyumba nzuri sana na ni ya kisasa kabisaa inapangishwa kwa mromboo maeneo ya msasani, km 1 kutoka standi kwa mromboo lami, nyumba ina sifa zifuatazo:- 1 Ni selfu ya chumba sebule choo jiko ndani 2 Nyumba ni mpya kabisaa, maji umeme upo 3 Wapangaji 4 kila mtu luku yake,parking ipo 4 Mita 100 unaona Haice, wahi mapema sana
TSh150,000