Hii nyumba ni nzuri sana mwanangu iyo Mwenyewe ana dhalula kidogo Ana itaji pesa ya araka sana Ana iyuza bei ya kutupa sana tsh million 25 tu nyumba ipo mwandege bara bara ya kuelekea mkulanga jilani na kiwanda Cha Azam cola Ipo meter chacha tu kutoka bara bara kuu ya Rami Eneo square 300 Ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa Ina See more
TSh25