Self ya 2bdrm za kulala room moja master, inapangishwa moshono nyuma ya club d. -umabli mita 300kutoka main road. -Ina sitting room, Daining. 2bdrm#1master, room zote Ina makabat. Ina Jiko la kisasa, store & public toilet - Bei 400,000/kwa mwez (laki nne) -kila mmoja anajitegemea kwa mita yke ya umeme. Kwa maelezo Zaid pg:- -0684 170231. -0762 988989(call).
TSh400,000