Ni nyumba nzuri sana na ni ya kisasa kabisaa inapangishwa njiro, nyumba ina sifa zifuatazo:- 1 Ni selfu ya chumba sebule choo jiko ndani 2 Wapangaji 4 jumla kila mtu luku yake pekee 3 Maji yapo ya kutosha, mazingira mazuri safi 4 Parking ipo kubwa sana aisee, wahi sasa
TSh200,000