Ni nyumba nzuri sana na ni ya kisasa kabisaa inapangishwa moshono nyuma ya shule, nyumba ina sifa zifuatazo:- 1 Ni selfu ya two bedrooms, ina master & public toilet 2 Ina jiko kubwa, mazingira mazuri parking ipo kubwa 3 Wapangaji 3 jumla kila mtu luku yake, maji yapo 4 Mita 700 toka lami, wahi mapema sana ndg yng
TSh250,000