Hii so yakukosa kabisa.... Wasio na nguvu nao watumie tv kubwa smart.... Imetoka kwenye contena ikiwa na tatizo dogo mno ambalo huwezi kuona kwenye picha.... mistari miwili membamba mno ambayo huwezi kuiyona ukiwa unaangalia picha naitowa ikiwa na warrante ya mwaka kuhusu hio mstari haitazidi labda kupotea kabisa isionekane tena.... Tumefunguwa See more
TSh580,000