Ni nyumba nzuri sana na ni za kisasa kabisaa, nyumba ni mpya kabisaa, sifa zake ni kama ifuatavyo: 1 Ni room moja ya kawaida choo nje, parking ipo 2 Nyumba ni mpya kabisaa, pia kuna double ya kawaida 3 Nyumba ina mazingira mazuri sana, maji umeme upo 4 Mita 150 toka lami, wahi mapema sana ndg yng
TSh50,000